• CBC irekebishwe; Humphrey Obarah

  • Aug 27 2022
  • Duración: 15 m
  • Podcast

CBC irekebishwe; Humphrey Obarah

  • Resumen

  • Katibu Mkuu wa Shirikisho la Talanta Duniani Profesa Humphrey Oborah, ambaye alivumbua kifaa cha kupima talanta na uwezo wa mwanafunzi kimasomo anaiataka serikali mpya kuifanyia sekta ya elimu nchini mageuzi ili kuhakikisha kuwa inaafikia malengo yake. Obarah anapendekeza Wizara ya Elimu kufanyiwa marekebisho na kuundwa kwa Wizara ya Masomo ambayo itahakikisha kuwa mageuzi yanafanyika katika sekta ya elimu nchini. Kwenye mazungumzo na Faith Kutere, Oborah aidha anapendekeza Mtaala wa Umilisi CBC kurekebishwa ili kuhakikisha kuwa wanafunzi wanapata elimu bora.
    Más Menos
activate_Holiday_promo_in_buybox_DT_T2

Lo que los oyentes dicen sobre CBC irekebishwe; Humphrey Obarah

Calificaciones medias de los clientes

Reseñas - Selecciona las pestañas a continuación para cambiar el origen de las reseñas.