• Siasa Podcast: Hatutaki Siasa Makanisani - Askofu Anthony Muheria

  • Sep 13 2021
  • Length: 13 mins
  • Podcast

Siasa Podcast: Hatutaki Siasa Makanisani - Askofu Anthony Muheria

  • Summary

  • Hatua ya Kiongozi wa Kanisa la Kianglikana, Jackson Ole Sapit kuwanyima fursa wanasiasa kuhutubu katika mimbari kwenye halfa aliyokuwa akiongoza katika Eneo Bunge la Butere, Kaunti ya Kakamega, imeendelea kuibua mijadala mikali. Je, ndio mwisho wa maendeleo na ujenzi wa makanisa baada ya wanasiasa kunyimwa fursa ya kuzungumza mimbarini? Mwanahabari wetu Victor Mulama amemhoji Askofu wa Kanisa Katoliki Dayosisi ya Nyeri Anthony Muheria ambaye pia ni Mwenyekiti wa Baraza la Madhehebu la Kushughulikia Kanuni za Kuzingatiwa katika Maeneo ya Ibada.​
    Show more Show less
activate_Holiday_promo_in_buybox_DT_T2

What listeners say about Siasa Podcast: Hatutaki Siasa Makanisani - Askofu Anthony Muheria

Average customer ratings

Reviews - Please select the tabs below to change the source of reviews.