• Hoja za Wahariri Podcast: Nchi bila umeme; ni njama?

  • Jan 14 2022
  • Length: 41 mins
  • Podcast

Hoja za Wahariri Podcast: Nchi bila umeme; ni njama?

  • Summary

  • Kupotea kwa umeme nchini Kenya kwa takribani siku tatu kumechochea ghadhabu. Baadhi wanahisi kwamba ni njama ya wafanyakazi fulani wa kampuni za umeme kusababisha hali hiyo maksudi. Kwamba huenda wanalalamikia mageuzi ya usimamizi katika Kenya Power, ama ni kero la wasambazaji wa kawi kulalamikia viwango vipya vya ada za umeme ambavyo ni vya chini, na kuishia wao kupata hasara. Aidha, tunajadili kujiuzulu kwa Mshirikishi wa Utawala, Bonde la Ufa, George Natembeya ili kulenga kiti cha kisiasa. Ali Manzu anawashirikisha wahariri, Charles Otieno na Kennedy Wandera katika kuyajadili masuala haya.
    Show more Show less
activate_Holiday_promo_in_buybox_DT_T2

What listeners say about Hoja za Wahariri Podcast: Nchi bila umeme; ni njama?

Average customer ratings

Reviews - Please select the tabs below to change the source of reviews.