Gumzo na Mwanaspoti

By: The Standard Group PLC
  • Summary

  • Ni jukwaa la mazungumzo na wanamichezo kuhusu spoti na maisha yao kwa ujumla. Pia inawahusisha viongozi, wakufunzi na wapenzi wa michezo.
    Show more Show less
activate_Holiday_promo_in_buybox_DT_T2
Episodes
  • Sitaubadili uraia: Angela Okutoyi | Gumzo na Mwanaspoti Podcast
    Nov 27 2022
    Bingwa wa tenisi kwa wachezaji chipukizi chini ya miaka kumi na minane, Angela Okutoyi anasema hawaii kubadili uraia. Katika mazungumzo na Ali Hassan Kauleni, Okutoyi amesema wazi kwamba licha ya kupata nafasi ya kufanya hivyo ataendelea kuwakilisha Kenya katika mashindano ya tenesi.
    Show more Show less
    18 mins
  • Chakula bado ni cha Vibandani: Angela Okutoyi | Gumzo na Mwanaspoti Podcast
    Nov 14 2022
    Licha ya kutamba katika mashindano ya tenisi, Angela Okutoyi bado anapitia maisha magumu. Katika mahojiano na Mhariri wa Michezo, Ali Hassan Kauleni, mshindi huyo wa taji la Wimbledon anasimulia masaibu ambayo amepitia katika safari yake ya mchezo wa tenisi. Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka kumi na minane anasema bado analazimika kukula vibandani licha ya ahadi kutoka kwa maafisa wa serikali ya kumsaidia.
    Show more Show less
    26 mins
  • Nilitengwa Ethiopia; Silvanus Otema | Gumzo na Mwanaspoti Podcast
    Oct 14 2022
    Aliyekuwa mchezaji wa timu ya kitaifa ya soka, Harambee Stars Silvanus Otema anasema alipitia wakati mgumu nchini Ethiopia baada ya kujiunga na klabu ya St. George. Otema anasema alitengwa na wachezaji wa klabu hiyo kutokana na uzuri wake. Pata uhondo kamili katika Podcast hii.
    Show more Show less
    15 mins

What listeners say about Gumzo na Mwanaspoti

Average customer ratings

Reviews - Please select the tabs below to change the source of reviews.