Episodios

  • KUNYAMAZA VS KUNENA.m4a
    Jun 29 2024
    7 Wakati wa kunyamaza, na wakati wa kunena;
    Mhubiri 3:7b
    Más Menos
    8 m
  • TUNZA FURAHA YAKO (Maintain Your Happiness)
    Feb 21 2024
    Akasema, Uso wangu utakwenda pamoja nawe, nami nitakupa raha.

    Kutoka 33:14
    Likumbukeni neno lile alilowaamuru Musa mtumishi wa Bwana, akisema, Bwana, Mungu wenu, anawapa ninyi raha, naye atawapa nchi hii.

    Yoshua 1:13
    Kisha Naomi akamwambia mkwewe, Je! Mwanangu, si vizuri nikutafutie raha, ili upate mema?

    Ruthu 3:1
    Más Menos
    12 m
  • MAMBO MAWILI YA KUFANYA ILI SIKU YAKO IWE NA MAFANIKIO.aac
    Feb 19 2024
    Umkabidhi Bwana njia yako, Pia umtumaini, naye atafanya.

    Zaburi 37:5
    Mkabidhi Bwana kazi zako, Na mawazo yako yatathibitika.

    Mithali 16:3
    Más Menos
    3 m
  • Episode 19 - Linus Siwiti's podcast
    3 m
  • USIHOFU JUU YA MAMBO YA DUNIANI KUWA NA HOFU ya MUNGU
    Aug 13 2021
    1 Kwa malaika wa kanisa lililoko Efeso andika; Haya ndiyo anenayo yeye azishikaye hizo nyota saba katika mkono wake wa kuume, yeye aendaye katikati ya vile vinara saba vya dhahabu.
    Ufunuo wa Yohana 2:1

    2 Nayajua matendo yako, na taabu yako, na subira yako, na ya kuwa huwezi kuchukuliana na watu wabaya, tena umewajaribu wale wajiitao mitume, nao sio, ukawaona kuwa waongo;
    Ufunuo wa Yohana 2:2

    3 tena ulikuwa na subira na kuvumilia kwa ajili ya jina langu, wala hukuchoka.
    Ufunuo wa Yohana 2:3

    4 Lakini nina neno juu yako, ya kwamba umeuacha upendo wako wa kwanza.
    Ufunuo wa Yohana 2:4

    5 Basi, kumbuka ni wapi ulikoanguka; ukatubu, ukayafanye matendo ya kwanza. Lakini, usipofanya hivyo, naja kwako, nami nitakiondoa kinara chako katika mahali pake, usipotubu.
    Ufunuo wa Yohana 2:5

    6 Lakini unalo neno hili, kwamba wayachukia matendo ya Wanikolai, ambayo na mimi nayachukia.
    Ufunuo wa Yohana 2:6

    7 Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho ayaambia makanisa. Yeye ashindaye, nitampa kula matunda ya mti wa uzima, ulio katika bustani ya Mungu.
    Ufunuo wa Yohana 2:7

    8 Na kwa malaika wa kanisa lililoko Smirna andika; Haya ndiyo aneneyo yeye aliye wa kwanza na wa mwisho, aliyekuwa amekufa, kisha akawa hai.
    Ufunuo wa Yohana 2:8

    9 Naijua dhiki yako na umaskini wako, (lakini u tajiri) najua na matukano ya hao wasemao ya kuwa ni Wayahudi, nao sio, bali ni sinagogi la Shetani.
    Ufunuo wa Yohana 2:9

    10 Usiogope mambo yatakayokupata; tazama, huyo Ibilisi atawatupa baadhi yenu gerezani ili mjaribiwe, nanyi mtakuwa na dhiki siku kumi. Uwe mwaminifu hata kufa, nami nitakupa taji ya uzima.
    Ufunuo wa Yohana 2:10

    11 Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho ayaambia makanisa. Yeye ashindaye hatapatikana na madhara ya mauti ya pili.
    Ufunuo wa Yohana 2:11

    12 Na kwa malaika wa kanisa lililoko Pergamo andika; Haya ndiyo anenayo yeye aliye na huo upanga mkali, wenye makali kuwili.
    Ufunuo wa Yohana 2:12

    13 Napajua ukaapo, ndipo penye kiti cha enzi cha Shetani; nawe walishika sana jina langu, wala hukuikana imani yangu, hata katika siku za Antipa shahidi wangu, mwaminifu wangu, aliyeuawa kati yenu, hapo akaapo Shetani.
    Ufunuo wa Yohana 2:13
    Más Menos
    15 m
  • Hamasika Time "Mambo Matatu Ya Kufanya Mjasiriamali, Mfanyabiashara Unapopitia Changamoto"
    Aug 12 2021
    Mambo matatu ya kufanya unapopitia changamoto katika Biashara au Ujasiriamali:
    1. Badilisha mfumo wa biashara,
    2. Boresha Biashara yako
    3. Tumia changamoto kuzigundua fursa zingine.
    Más Menos
    15 m
  • NEEMA YA ASUBUHI Linus Siwiti's podcast
    Jun 13 2021
    10 Hatimaye, mzidi kuwa hodari katika Bwana na katika uweza wa nguvu zake.
    Waefeso 6:10

    11 Vaeni silaha zote za Mungu, mpate kuweza kuzipinga hila za Shetani.
    Waefeso 6:11

    12 Kwa maana kushindana kwetu sisi si juu ya damu na nyama; bali ni juu ya falme na mamlaka, juu ya wakuu wa giza hili, juu ya majeshi ya pepo wabaya katika ulimwengu wa roho.
    Waefeso 6:12

    13 Kwa sababu hiyo twaeni silaha zote za Mungu, mpate kuweza kushindana siku ya uovu, na mkiisha kuyatimiza yote, kusimama.
    Waefeso 6:13

    14 Basi simameni, hali mmejifunga kweli viunoni, na kuvaa dirii ya haki kifuani,
    Waefeso 6:14

    15 na kufungiwa miguu utayari tupatao kwa Injili ya amani;
    Waefeso 6:15

    16 zaidi ya yote mkiitwaa ngao ya imani, ambayo kwa hiyo mtaweza kuizima mishale yote yenye moto ya yule mwovu.
    Waefeso 6:16

    17 Tena ipokeeni chapeo ya wokovu, na upanga wa Roho ambao ni neno la Mungu;
    Waefeso 6:17

    18 kwa sala zote na maombi mkisali kila wakati katika Roho, mkikesha kwa jambo hilo na kudumu katika kuwaombea watakatifu wote;
    Waefeso 6:18
    Más Menos
    15 m
  • MORNING GRACE
    May 5 2021
    11 m